Гуру Песен Популярное
А Б В Г Д Е Ж З И К Л М Н О П Р С Т У Ф Х Ц Ч Ш Э Ю Я
# A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

Diamond Platnumz - Nataka Kulewa | Текст песни

We niache niende niende!..

Uh, usiniulize kwanini
Sababu utanizingua
Ukitaka jiunge na mimi
Kama ni pesa we kunywa nitanunua

Mi mwanzo sikuamini
Nikajuaga vya kuzua
Kumbe mjinga ni mimi
Ninayetunza wenzangu wanachukua

Oh mapenzi (mapenzi)
Yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Mie siwezi
Walionikuta waniache nisemee jina

Oh mapenzi (mapenzi)
Yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Na nina mengi
Ah yamenikaa moyoni

Leo nataka kulewa (Lewa)
Mi nataka kulewa (Lewa)
Nataka kulewa (Lewa)
Zikipanda nimwage radhi

We niache niende niende!..

Mi kwa mapenzi maskini
Nikamvisha na pete kwa kumuoa
Kukata vilimi limi
Vya wazushi wanafiki wanaomponda

Kumbe mwenzangu na mimi
Ni bure tu unajisumbua
Si tuko kama ishirini
Mabuzi ving'asti wengine anawahonga

Oh mapenzi (mapenzi)
Yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Mie siwezi,
Walionikuta waniache nisemee jina

Oh mapenzi (mapenzi)
Yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Na nina mengi
Ah yamenikaa moyoni

Leo nataka kulewa (Lewa)
Mi nataka kulewa (Lewa)
Nataka kulewa (Lewa)
Zikipanda nimwage radhi

We niache niende niende!..

Diamond Platnumz еще тексты


Статистика страницы на pesni.guru ▼
Просмотров сегодня: 1
Видео
Нет видео
-